Katika mkutano wa kimataifa wa mazingira COP27, nchini Misri, mataifa karibu mia mbili yaliafikia makubaliano ya kuanzishwa kwa mfuko wa fedha wa kushughulikia hasara na uharibifu, fedha hizi zikitarajiwa kuzisaidia nchi masikini na zilizo katika hatari ya kuathirika zaidi na athari za mabadiliko ya tabianchi.
Mkataba wa kuanzishwa mfuko wa fedha kushughulikia athari za mabadiliko ya tabianchi COP27
by KuniSmart | Dec 22, 2022 | News & Updates | 0 comments
